Breaking News
recent

BARCELONA WATENGA MILIONI 50 NA MCHEZAJI JUU



Barcelona imetenga pauni million 50 kuipa Chelsea ili imtoe winga wake,  Willian. 

Barcelona wamepanga pia kuwapa Chelsea kiungo kinda aitwa Malcom.

Thamani ya Malcom ni pauni million 38 na ilimsajili kutoka katika klabu ya Bordeaux ya Ufaransa.


Sport Nyumbani

Sport Nyumbani

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.