Breaking News
recent

uwanjani,wachezaji wafanya kazi ya ziada kuwaomba radhi.

Mashabiki wa klabu ya As Roma ya nchini Italia walikimbia uwanjani baada ya kuishuhudia timu yao ikiwa nyuma kwa mabao 3:0 baada ya dakika 22 kwenye mchezo wa marejeano wa raundi ya 16 bora ya kombe ya Europa dhidi ya ndugu zao Fiorentina.
romaa
1Kiungo Danielle De Rossi akizungumza na mashabiki wa Roma…….
2Nahodha Francesco Totti ambaye jana hakucheza ilimbidi pia kwenda kuwatuliza mashabiki waliokuwa na hasira.
3
4mara baada ya Roma kufungwa bao la tatu kwenye dakika ya 22 mashabiki waliamua kuondoka uwanjani kama picha inavyoonyesha hapo juu.
5Uwanja ukiwa mtupu kipindi cha pili wakati mchezo ukiendelea………
Sport Nyumbani

Sport Nyumbani

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.