NA Sport nyumbani
Mabasi ya abiria ya serikali zaidi ya 300 yamekuwa yakikutana kila siku kwenye uwanja huo kwa ajili ya madereva kubadilisha shifti.
Gazeti la The Mirror la Uingereza limesema uwanja huo wa pili kwa kuwa ghali zaidi katika historia ya soka duniani, sasa unatumika kwa kazi hiyo ambayo si yake.
![]() |
WAKATI WA KOMBE LE DUNIA. |
Serikali ya Brazil ilimwaga pauni milioni 350 kuutengeneza uwanja huo kwa ajili ya Kombe la Dunia mwaka jana na una uwezo wa kuingiza mashabiki 72,000 wakiwa wameketi.
Ndiyo uwanja ghali zaidi ukiwa wa pili baada ya Wembley wa Uingereza.
No comments:
Post a Comment