Breaking News
recent

HATIMAYE PACQUIAO AKATA MZIZI WA FITINA, AKUBALI KUTOLEWA DAMU, KUPIMWA



 Bondia Manny Pacquiao amekata mzizi wa fitina baada ya kukubali kuchukuliwa damu na kupimwa.



Mpinzani wake Floyd Mayweather mara nyingi amekataa kupigana naye kwa madai huenda anatumia dawa za kuongeza nguvu.

Lakini jana amekubali kupimwa, tena ‘live’ huku runinga ya kwao Ufilipino ikionyesha.
 
Wakali hao wanakutana Mei 2, Las Vegas nchini Marekani katika pambano ghali zaidi la mchezo wa ngumi duniani.


Sport Nyumbani

Sport Nyumbani

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.