Breaking News
recent

KOMBE LA DUNIA 2022 KUFANYIKA KRISMASI:

Wajumbe wa Fifa leo kwa kauli moja wamesema michuano ya Kombe la Dunia itakayofanyika nchini Qatar 2022 itachezwa Novemba hadi Desemba badala ya Juni-Julai.
Hivyo kuna hisia toka kwa baadhi ya wadau kuwa huenda ikaangukia siku ya Krismasi. Una mtazamo gani juu ya ratiba hii
Sport Nyumbani

Sport Nyumbani

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.